Tuesday, 31 January 2017

Donald Trump, the newly elected president of the united states of America.

Rais wa Marekani Donald Trump amemfuta kazi kaimu mwanasheria mkuu Sally Yates kufuatia hatua yake ya kuamrisha mawakili wa idara ya haki nchini humo kutotekeleza amri ya rais kuzuia raia wanaotoka katika nchi za Kiislamu.
Muda mfupi baadaye rais Trump alimteua Dana Boente ambaye alitekeleza amri hiyo mara moja ambayo sasa imezuia raia kutoka nchi saba za Kiislam kuingia Marekani.

https://www.youtube.com/watch?v=sPB4hoAchkU

The post Trump azua cheche zaidi appeared first on Mediamax Network Limited.

your advertise here

This post have 0 komentar


EmoticonEmoticon

Next article Next Post
Previous article Previous Post

Advertisement

Themeindie.com