Rais wa Marekani Donald Trump amemfuta kazi kaimu mwanasheria mkuu Sally Yates kufuatia hatua yake ya kuamrisha mawakili wa idara ya haki nchini humo kutotekeleza amri ya rais kuzuia raia wanaotoka katika nchi za Kiislamu.
Muda mfupi baadaye rais Trump alimteua Dana Boente ambaye alitekeleza amri hiyo mara moja ambayo sasa imezuia raia kutoka nchi saba za Kiislam kuingia Marekani.
https://www.youtube.com/watch?v=sPB4hoAchkU
The post Trump azua cheche zaidi appeared first on Mediamax Network Limited.
This post have 0 komentar
EmoticonEmoticon