Wacha Leo niwafundishe mbinu rahisi ya kutongoza msichana kwa gari ukitoka ushago. Panda kwa gari na kamzigo kako kadogo ,tembea gari mzima ukikagua wasichana wenye wako ndani, ukishaona ule Mrembo zaidi na ako kwa kiti ya watu wawili, weka huo mkoba wako karibu naye halafu mwambie akuangalilie.
Akisema sawa umefaulu hatua ya kwanza toka nje pigia mungu asante na uombe mungu akusaidie hatua zilizosalia.
Rudi ndani kaa hapo toa Simu anza kuscroll pic zako Kali Kali zile unaamini juu saa hio anaziangalilia kwa kio ya dirisha hataki umuone ati anakuchunguza.
Gari ikianza mwendo, ngoja mfike kwa bumps ikiruka hio bumps mwambie huyu dereva anaendesha gari vibaya, akikujibu hapo umefaulu hatua ya pili sasa jifanye umelala kumbe umefunga macho kurudishia mungu shukrani kwa kukupitisha hatua ya pili salama salmini.
Lala kiustarabu usimulalilie bado nimapema hamjafika hata Kisii anaezabadilisha kiti.
Ukiamka kwa huu usingizi mwamkie na hatua ya tatu muulize mmefika wapi hapa, hapo jifanye ulikuwa umelala sana akikujibu anza ka hadithi either gari imeenda mbio ama pole pole.
Ongea na sasa unaezamuuliza jina na mtaa anaenda huku Nrb but bado usimtongoze.
Narudia usijaribu kuguzia hisia ati unaezakumtaka kabla hamjafika Narok unajua hii ni January anaezafika Narok alie njaa na hata wewe kwa mfuko una fifty Bob fare ya kukutoa town.
Mkielekea Naks lala tena .lala tena sana mpaka gari ifike watu waende wakule warudi kama bado unalala gari ikiponyoka tu hivi amka muulize kwani gari haisimami akikuambia watu washakula mlaumu kidogo mbona hakukuamsha.
Haya piga naye gumzo kidogo lakini usitongoze vitu za gari ni self explanatory.
Jifanye tena umelala na sahi uanze kumlalia pole mpaka umlalie kwa miguu na yeye pia atakulalia.
Nishakutafunia sasa meza.
Mkifika Nairobi mwambie angoje asubuhi ifike ndio mtoke.
Ikifika saa moja toka naye moja kwa moja hadi Huduma Centre panga naye laini wakianza kazi saa mbili, CHUKUENI KURA WACHENI UMALAYA!!!!
Akisema sawa umefaulu hatua ya kwanza toka nje pigia mungu asante na uombe mungu akusaidie hatua zilizosalia.
Rudi ndani kaa hapo toa Simu anza kuscroll pic zako Kali Kali zile unaamini juu saa hio anaziangalilia kwa kio ya dirisha hataki umuone ati anakuchunguza.
Gari ikianza mwendo, ngoja mfike kwa bumps ikiruka hio bumps mwambie huyu dereva anaendesha gari vibaya, akikujibu hapo umefaulu hatua ya pili sasa jifanye umelala kumbe umefunga macho kurudishia mungu shukrani kwa kukupitisha hatua ya pili salama salmini.
Lala kiustarabu usimulalilie bado nimapema hamjafika hata Kisii anaezabadilisha kiti.
Ukiamka kwa huu usingizi mwamkie na hatua ya tatu muulize mmefika wapi hapa, hapo jifanye ulikuwa umelala sana akikujibu anza ka hadithi either gari imeenda mbio ama pole pole.
Ongea na sasa unaezamuuliza jina na mtaa anaenda huku Nrb but bado usimtongoze.
Narudia usijaribu kuguzia hisia ati unaezakumtaka kabla hamjafika Narok unajua hii ni January anaezafika Narok alie njaa na hata wewe kwa mfuko una fifty Bob fare ya kukutoa town.
Mkielekea Naks lala tena .lala tena sana mpaka gari ifike watu waende wakule warudi kama bado unalala gari ikiponyoka tu hivi amka muulize kwani gari haisimami akikuambia watu washakula mlaumu kidogo mbona hakukuamsha.
Haya piga naye gumzo kidogo lakini usitongoze vitu za gari ni self explanatory.
Jifanye tena umelala na sahi uanze kumlalia pole mpaka umlalie kwa miguu na yeye pia atakulalia.
Nishakutafunia sasa meza.
Mkifika Nairobi mwambie angoje asubuhi ifike ndio mtoke.
Ikifika saa moja toka naye moja kwa moja hadi Huduma Centre panga naye laini wakianza kazi saa mbili, CHUKUENI KURA WACHENI UMALAYA!!!!
This post have 0 komentar
EmoticonEmoticon